a
Za 61:3
b
Isa 26:4
;
1Sam 1:15
;
Za 37:5
;
42:4
;
Mt 26:36-46
Psalms 62:7-8
7
a
Wokovu wangu na heshima yangu viko kwa Mungu,
ndiye mwamba wangu wenye nguvu
na kimbilio langu.
8
b
Enyi watu, mtumainini yeye wakati wote,
miminieni mioyo yenu kwake,
kwa kuwa Mungu ni kimbilio letu.
Copyright information for
SwhNEN